Bodi ya mpira wa miguu tanzania bara leo tarehe 03/11/23 imetoa utaribuu maalumu wa mechi ya simba vs yanga mchezo utakaopigwa katika dimba la benjamini wiliam mkapa majira ya saa 11 jioni
pia bodi hiyo imeweka wazii juu ya ufunguzi wa magetii katika siku ya jumapili ambapo imetanabaisha kuwa siku ya jumapili mageti yatafunguliwa majira ya saa 4 asubhii na kutakuwa na burudanii nyingi zitakuwepo katika dimba hiloo siku ya jumapili
![](https://i.ytimg.com/vi/8MG1wrKXDs4/maxresdefault.jpg)