Haya ni Mazoezi ya kujinyoosha kupunguza maumivu kwenye mgongo wa chini na kiuno, Mazoezi haya yanatakiwa kufanyika kwa uangalifu kulingana na tatizo lako la mgongo, kwa wenye matatizo yaliyotokana na ajali au pingili kuharibika katika uti wa mgongo haya mazoezi si kwa ajili yenu hakikisha unapata ushauri kutoka kwa daktari kabla ya kufanya chochote.
DISCLAIMER: Joanfitness hawatohusika na tatizo lolote endapo litakalojitokeza wakati wa ufuatiliaji wa kitu chochote katika Channel hii kwa video zote, fuatisha kitu chochote kwa uamuzi wako binafsi, haya ni maoni yangu na uzoefu wangu vitu ambavyo vinanisaidia mimi.
Ещё видео!