Waziri wa ujenzi na uchukuzi Pro. Makame Mbarawa amefika mkoani Mwanza kwa ziara fupi ya siku 3 na kutembelea daraja la JPM linalojengwa kati ya Kigongo wilayani Misungwi na Busisi wilayani Sengerema ili kujiridhisha na mwenendo wa ujenzi wa mradi huo.
Waziri Makame amemwagiza mkandarasi kuongeza vibarua na kufanya kazi mchana na usiku ili kufidia muda uliopotea kuepuka kucheleweshwa.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/8mmrpqeAAkU/maxresdefault.jpg)