Watoto wawili waliokuwa na umri w amiaka mitano na mitatu wamefariki kwenye mkasa wa moto katika kijiji cha Mutira kaunti ya Kirinyaga.
Msimamizi wa idara ya majanga eneo hilo John Kiama amesema kwamba waligundua maiti za watoto hao walipomaliza kuzima moto. kwa mujibu wa polisi, baba ya watoto hao alikuwa amewaacha watoto hao wakilala alipokwenda kwa nduguye mita chache kutoka kwake alipopata habari kuwa nyumba yake ilikuwa inateketea. majirani waliona moshi ukitoka kwenye nyumba hiyo iliyokuwa imejengwa kwa mbao.
Ещё видео!