UTAPENDA: VIJANA CCM GEITA WALIVYOADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA YA RAIS SAMIA...
Kuelekea maadhimisho ya miaka 46 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Umoja wa Vijana wa Chama hicho wilayani Mbogwe pamoja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Ramadhan Mwinshehe Mlao (MNEC) wameadhimisha kwa kutambua umuhumu wa kufariji watu wenye uhitaji.
Kwa kutambua hilo wametembelea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe mkoani Geita na kuwapatia mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na kushiriki kukata keki ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hasani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/8wLi-h5r8EM/maxresdefault.jpg)