Hiki ni chakula kilicho shuka toka mbinguni karibuni wakristu jongeeni kwa karamu ya bwana x 2
1. Bwana ametuandalia chakula bora ndio mwili wake Bwana unaotolewa kwa ajili yetu.
2. Bwana ametuandalia kinywaji safi ndiyo damu yake azizi inayomwagika kwaajili yetu.
3 a. Hivyo kila tuulapo mkate huu na kunywa kikombe hiki tunatangaza kifo chake bwana.
b. Pia kila tuulapo mkate huu na kunywa kikombe hiki twautukuza ufufuko wake.
#catholicmass #catholicchannels #nyimbozakuabuduekaristia #holycommunion #eucharisticadoration #katoliki #catholicmusic #latestcatholicmisamixsongs #traditionalcatholic #trending #catholic #bestcatholicdances #bestcatholicsongs
![](https://i.ytimg.com/vi/9HQaOcmjubM/maxresdefault.jpg)