RUSSIA vs UKRAINE: CHANZO KAMILI CHA UGOMVI WAO NI HIKI, WALIANZA KAMA UTANI, SASA WANATIKISA DUNIA!
Ilianza kama masihara, chokochoko zikapamba moto na sasa, tayari mashambulizi ya kijeshi ya majeshi ya Urusi yameanza rasmi katika ardhi ya Ukraine hususan katika Mji Mkuu, Kyiv na katika majimbo mawili yanayotaka kujitenga ya Urusi imeamua kuweka pamba masikioni na kutosikiliza ushauri wa mataifa mengi wa kuisihi isianze oparesheni zake za kivita dhidi ya Ukraine ili kuzuia madhara yanayoweza kuletwa na vita! Rais Vladmir Putin ameamua kutunisha misuli na sasa tayari vita kamili imeanza.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!