Heri Taifa
| Verse 1 |
Heri tayifa ambalo bwana u Mungu waona
watu ulio wachagua kuwa urithi wako
Maana myoyo yetu itafurahiya kuwa
Tumelitumaini jina lako zuri.
| Verse 2 |
Babaa ni wewe twangojea tukishika njia zako
Na wewe utatu ongoza tu urithi ufalme.
| Bridge |
Tutatangaza uaminifu wako
Hakuna awezaye kufananishwa nawe
Umefanya kwa wingi miujiza
Nasi tutaimba milele na milele.
Your support is highly appreciated
If you want to support Gisubizo Ministries:
MOMO PAY *182*8*1*172968# Eric
WordRemit: 0782497900/ Eric NGIRABAKUNZI
Hit the 🔔 Notification Bell so that you never miss our most recent video.
![](https://i.ytimg.com/vi/9SHIrkHTlag/maxresdefault.jpg)