Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa
Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili nchini Msumbiji kushiriki mkutano wa
dharura wa Viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC
akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Samia Suluhu Hassan.
Katika Uwanja wa ndege wa Mavulane,Maputo nchini Msumbiji Rais
Dk.Hussein Ali Mwinyi na ujumbe wake akiwemo Mama Mariam Mwinyi
wamepokelewa na Mwenyeji wao Waziri wa Ustawi wa Jamii,jinsia na
Watoto Mheshimiwa Nyeleti Brooke Mondlane na kupokea salamu ya
heshima kutoka katika jeshi la ulinzi la nchini Msumbiji.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
Ещё видео!