Huenda bei ya bidhaa muhimu zikapanda kufuatia ongezeko la hapo jana la bei ya mafuta nchini. Wafanyibiashara na hata wahudumu na wamiliki wa magari ya umma na ya kibinafsi wakielezea wasiwasi wao kuhusiana na nyongeza hiyo. Hapo jana, mamlaka ya kuthibiti kawi nchini ilitangaza kuongezeka kwa bei ya mafuta kwa takriban shilingi nane.
Ещё видео!