DJ maarufu nchini Tanzania DJ d ommy ameachana rasmi na clouds media siku moja baada ya kutangazwa kuwa ni miongoni mwa watangazaji watakaojiunga katika kipindi cha Jahazi ndani ya clouds FM. baada ya habari hiyo kuenea, Rais wa Crown Media amehusishwa Wenda akawa ni sababu ya DJ dommy kung'oka clouds na kujiunga na Crown media ya mtu mzima alikiba
#alikiba #cloudsfm #crownmedia #djdommy
Ещё видео!