Baadhi ya wananchi wameonyesha kutokuwa na imani na watendaji wa Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa madai kwamba baadhi yao ndiyo chanzo cha migogoro iliyopo.
Hayo yamejiri ikiwa ni siku chache zimepita baada ya kuanza kutolewa huduma za ardhi katika ofisi ya waziri mwenye dhamana jijini Dodoma huku wakiiomba wizara hiyo kuwahamishia mikoa mingine watumishi hao huku wizara yenyewe ikikiri kuwa pamoja na hatua zilizochukuliwa bado kuna hatua za kiutawala zinaendelea.
✍@official_jennifersumi
#watumishi #wizarayaardhi #migogoro #dodoma
![](https://i.ytimg.com/vi/9vV6glHV4GI/maxresdefault.jpg)