SHAHIDI KESI YA MBOWE AZUA KIZAZAA MAHAKAMANI...
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania Divion ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi Global TV Online Tumefika hapa kwaajili ya kukuletea muendelezo wa Kesi no 16/2021 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe pamoja na wenzake watatu.
Shahidi namba moja ambaye ni mshtakiwa no 2, Adam kasekwa amemaliza kutoa ushahidi wake ambapo Mshtakiwa namba tatu, Mohamed Abdillah Ling'wenya ameanza kutoa ushahidi katika kesi ndogo ndani ya Kesi ya Msingi inayomkabili yeye pamoja na wenzake watatu akiwemo mw/kiti wa Chadema Freeman Mbowe, Ling'wenya anatoa udhahidi ndani ya kesi kutokana na jina lake kutajwa na Shahidi No 1 ambaye ni mshtakiwa namba mbili, Adam Kasekwa....
Imeandaliwa na Felista Massae....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
SHAHIDI KESI YA MBOWE AZUA KIZAZAA MAHAKAMANI...
Теги
GLOBAL TV ONLINEHABARI MPYAGLOBAL RADIOKESI YA MBOWEmbowemahakama kuumahakama ya mafisadiugaidikesi ya uhujumu uchumikesi ya mbowe leo mahakamaniuhujumu uchumikesi ya ugaidi inayomkabili mbowembowe akabiliwa na kesi ya ugaidikilichojiri mahakamani leo kesi ya mbowejaji ajiondoa kesi ya mbayambowe na wenzake mahakamanimbowe mahamani leohukumu kesi ya mbowembowe akitinga mahakamanimahakama yatoa hukumu kesi ya mbowechademasuguzitto kabwe