Wakulima na viongozi kutoka kaskazini mwa bonde la ufa, wamesifia hatua ya serikali kusitisha uagizaji wa mahindi kutoka mataifa ya kigeni, wakisema hatua hiyo itawapa fursa kuuza mazao yao kwa bei ya kuridhisha. Sasa wanaitaka serikali kuweka mikakati ya kuhakikisha pembejeo za bei nafuu zinawasili nchini kwa wakati unaofaa, katika matayarisho ya msimu ujao wa upanzi.
Ещё видео!