Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Ummy Mwalimu amesema Serikali inaendela na jitihada na kuudhibiti ugonjwa wa dengue na tayari imeagiza mashine maalum za kupulizia dawa kwa ajili ya kuua mbu waenezao ugonjwa huo katika maeneo mbalimbali kwenye mikoa iliyoathirika zaidi ikiwemo Dar es Salaam.
Msikilize waziri
Ещё видео!