AMUUA MTOTO WAKE wa KUFIKIA kwa KUMCHINJA na KUMNYOFOA SEHEMU za SIRI - KAMANDA ATHIBITISHA...
Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia Erick Magulu baba mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa Miembeni halmashauri ya Mlimba wilayani kilombero mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumuua na kumkata sehemu za siri mtoto wake wa kufikia Johnson Ngonyani mwenye umri wa miaka 6 aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya msingi mwembeni
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Kamishina msaidizi mwandamizi wa Polisi Alex Mkama amesema tukio hilo limetokea juni mosi mwaka huu wa 2024 ambapo mara baada ya kukamatwa kwa mtuhumiwa alikiri kumuua mtoto huyo kwa kumkata shingo,mikoni sehem za siri na alitoa ushirikiano sehemu alipoficha viungo hivyo
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉[ Ссылка ]
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
Ещё видео!