#sitenews Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anatarajiwa Kupokelewa Mkoani Katavi tarehe 12/12/2022 katika Uwanja wa ndege wa Mpanda na Mwenyeji wake Mwanamvua Mrindoko Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Kufanya Ziara ya siku tatu kuanzia tarehe 12,13 na14. Katika Ziara hii Waziri Mkuu ataweza Kuzinduwa na Kuweka Mawe ya Msingi katika Miradi mbali mbali iliyopo katika Wilaya ya Tanganyika,Mpanda na Mlele.
Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Mkoa wa Katavi amesema Ujio wa Waziri Mkuu katika Mkoa huu kwamba ni chachu ya Maendeleo na pia baadhi ya changamoto zitaenda kutatuliwa,Hivyo amewaomba Wananchi wote kujitokeza kwa wingi na kumpokea kwa shangwe katika maeneo atakayo fika.
#tukutanesite
#tukutanekazini
Ещё видео!