Hawa Ghasia Ampa Tano Rais Magufuli ishu ya Korosho
Mbunge wa Mtwara vijijini, Hawa Abdulrahman Ghasia, leo novemba 15, 2018 amepata nafasi ya kuchangia bungeni wakati wa kupitishwa kwa azimio la kumpongeza Rais Magufuli kwa uamuzi wa kununua korosho yote kwa wakulima kwa shilingi 3300.
Akichangia hoja mbunge huyo amedai kuunga mkono msimamo wa serikali katika kuwanusuru wakulima wa korosho mikoa ya kusini, Mtwara na Lindi. Aidha aliwashangaa wakosoaji wa mpango huo wa serikali kwa kile alichadai kuwa ni kukosa uzalendo.
Aliongeza kuwa "..mwaka jana korosho iliuzwa shilingi 4000, mwaka huu wanataka kununua kwa shilingi 1500 kwanini"
#KOROSHO #RAISMAGUFULI #HAWAGHASIA
Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz aceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
WatchMore Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
Ещё видео!