Baada ya kukaa nje ya Mitambo ya kutangaza kandanda kwa takribani miezi minne,Mwamba wa Umalila, Sauti ya Radi,Fahari ya Itete @baraka_mpenja leo Februari 14,2024 anaunguruma kupitia @mpenjatv_ ,amefunguka mengi usiyoyajua kuhusu ukimya wake,vipi amejipanga kutangaza mtanange wa Ligi kuu ya NBC kati ya @jkt_tanzania_fc na @simbasctanzania ,utakaochezwa februari 15,2024 katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni Dar,Saa 10:00 Jioni n.k
Ещё видео!