Wizara ya maji imewasilisha bajeti yake kwa mwaka 2023/2024 ikiomba kuidhinishiwa zaidi ya shilingi biloni 700 na wanatarajiwa kufanya mambo mbalimbali ya maendeleo kukabiliana na changamoto za maji ikiwemo kukamilisha mapitio ya sera ya maji mwaka 2002 , kuwa na mtandao wa taifa wa maji na kukabiliana na upotevu wa maji
![](https://i.ytimg.com/vi/BAnWzJfrHbw/mqdefault.jpg)