Wananchi wa Ukraine wanaendelea kukabiliana na athari za mashambulizi ya makombora yaliyofanywa na ndege zisizokuwa na rubani katika mji mkuu wa Ukraine, Kyiv na miji mingine wiki hii. Mashambulizi hayo yaliyofanywa na Russia yameharibu miundombinu na makazi ya watu. Endelea kusikiliza yaliyotokea wakati wa mashambulizi hayo...
- - - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Ещё видео!