“Tunakwenda kutekeleza kauli ya Rais” – Baada ya Rais Magufuli kusema kuwa anafikiria kuruhusu ligi kurejea, Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Almas Kasongo amesema Kamati ya Uongozi ya TFF imeazimia kuwa ligi iendelee kulingana maelekezo ya serikali, na mechi zitachezwa bila mashabiki kuanzia mwezi Juni mwaka huu. .
.
Kasongo amezungumza ‘exclusive’ na #MshikemshikeViwanjani na kueleza jinsi mambo yatakavyokuwa
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► [ Ссылка ]
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/BNPPvnf2Tmw/mqdefault.jpg)