KESI ya MBOWE: VURUGU ZAIBUKA MAHAKAMANI, WAFUASI wa MBOWE Wafungiwa NDANI...
Mtazamaji wa Global Tv video inayoonekana ni baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na maendeleo chadema wakionesha kupiga kelele baada ya kuzuiliwa kutoka ndani baada ya mwenyekiti wao Freeman mbowe na watuhumiwa wenzake wakati wakitolewa katika chumba cha kusikiliza kesi yao.
Hiyo imedaiwa wamezuiliwa kutoka ndani ili kupisha watuhumiwa hao waweze kuondoka eneo hilo la mahakama kutokana kinachodaiwa kuwa ni kawaida yao kumshangilia mbowe na kuimba Mbowe siyo gaidi wakati akielekea gerezani kitendo ambacho wamekuwa wakizuiliwa lakini kinaonekana wanakaidi.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!