Leo Julai 7 2022 Mpenja Tv tupo Johari Rotana Hall ambapo inafanyika shughuli ya Utoaji Tuzo kwa wachezaji, walimu na waamuzi wa ligi ya NBC na Ligi nyingine za ndani ya Tanzania.
.
Tupo hapa kukuletea matukio yote yanayoendelea kwenye shughuli hii iliyoandaliwa na TFF.
.
Fungua video hii kuhabarika.
.
#kidao #usikuwamastaa #mpenjatv
![](https://i.ytimg.com/vi/B_cwFjTmE1A/maxresdefault.jpg)