Mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Mwijaku rasmi ameachana na radio hiyo na kujiunga na Crown FM inayomilikiwa na Alikiba.
Mwijaku anaungana na watangazaji wengine waliojiunga na Crown FM kutoka vituo mbalimbali kama vile Salim Kikeke, Dullah Planet, Lesa, Pablo na Hansi.
Katika video hii nimekuonesha naona alikiba anavyomkaribisha mwijaku kwa kumvalisha taji(Crown) na kuwa mwanachama rasmi wa crown radio.
Usisahau ku-subscribe, like, comment na share video hii na marafiki.
![](https://s2.save4k.ru/pic/BexjU0dS-Kw/mqdefault.jpg)