ALIYEMUUA MTOTO na MKE WAKE AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA, MWENYEWE AKANA KUHUSIKA..
Raia mmoja wa Denmark amehukumiwa kifo nchini Nigeria baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mkewe na mtoto wao wa kike mwenye umri wa miaka mitatu.
Hukumu hiyo imetolewa baada ya mwendesha mashtaka kuwasilisha ushahidi wa kutosha katika mahakama ya Mji wa Lagos ambapo ushahidi huo umemtia hatiani raia huyo ambaye amehukumiwa kunyongwa.
Taarifa zinaeleza kwamba mauaji hayo yalifanyika mnamo Aprili 5, mwaka 2018 katika nyumba ya wanandoa hao iliyopo katika kitongoji cha Banana Island kilichopo Lagos nchini Nigeria.
Kesi hiyo iliibua hisia kwa wananchi hususani katika makundi ya kutetea haki za wanawake huku taarifa zikieleza kwamba hukumu hiyo ndiyo adhabu kubwa kwa kosa la mauaji nchini Nigeria.
Kwa upande wa mshtakiwa alipohojiwa kuhusu mashtaka hayo wakati kesi ikiendelea mahakamani alikana madai hayo na kueleza kwamba hakuhusika na mauaji hayo .
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/BvowJKBGIUw/maxresdefault.jpg)