Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara iliyopewa jina la Mwalimu Nyerere Medical Center ambayo wazo la ujenzi wake lilitolewa na Mwalimu Nyerere unaendelea kwa kasi baada ya serikali kutoa shilingi bilioni 15 na kukabidhi usimamizi wa ujenzi wa hospitaki hiyo kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Powered by #upholsterydesignsco
#azamTWO #azamtvtz #azamUTV #AzamTvApp #Azamhabari
![](https://i.ytimg.com/vi/C0CNxfo-EuA/maxresdefault.jpg)