Mwenyekiti mpya wa ccm mkoa wa Geita Nicolaus Kasendamila ameahidi na kuwahakikishia wanachama wake kusimamia haki hasa katika kipindi cha nyakati za matukio ,ili kila mtu apate skahiki yake kulingana na tukio husika ,kubwa mlengwa awe ametimiza taratibu na kanuni zote za chama
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema hayo baada ya kutangazwa kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita na kuongeza kwamba Haki isipotendeka inaleta manung’uniko na mpasuko ndani ya chama ,hivyo ameahidi kusimamia haki za walengwa kubwa awe na sifa ya kuwa kiongozi ,
![](https://i.ytimg.com/vi/C2LJQxgkylw/maxresdefault.jpg)