DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Juni 07, 2024 | Jioni | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari
Takriban watu 50 wamefikishwa mahakamani leo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakituhumiwa kuhusika na kile ambacho jeshi la nchi hiyo limesema ni jaribio la mapinduzi lililotibuka mwezi uliopita.
#dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #UkitakaTaarifaYaHabari
Ukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
![](https://i.ytimg.com/vi/C9KZXsWjcMg/maxresdefault.jpg)