Maandiko matakatifu ni Neno la Mwenyezi Mungu, yaani agano la kale na jipya. Mwenyezi Mungu aliyaleta maandiko ili yawe nuru na yawaongoze wanadamu katika imani ya kweli, katika ibada ya kweli, wasichukuliwe mateka katika mafundisho ya uongo. Imeandikwa (Ufunuo 13): “Heri wasomao na wao wasikiao neno la Mungu na kulishika ...”
![](https://i.ytimg.com/vi/CFwOBL-FHh0/maxresdefault.jpg)