Maafisa wa polisi jijini Nairobi wamefanya msako katika afisi za kampuni moja ya teknolojia katikati mwa jiji kufuatia ripoti ya kuhamishwa kwa sava za kompiuta kutoka kwa kampuni hiyo
Kulingana na kamanda wa polisi wa Nairobi James Mugera, mmiliki wa kampuni hiyo ametoa taarifa kwa polisi kuwa sava hizo hutumiwa kutoa huduma kwa baadhi ya vyama vya ushirika jijini. Maafisa wa upelelezi wamekita kambi katika afisi hizo kufanya uchuguzi zaidi kuhusiana na shughuli hizi zilizoibua wasiwasi wa kimtandao
Ещё видео!