MAJONZI: MAZISHI YA MAMA ALIYEUAWA NA BINTI YAKE, MEYA ATOA NENO...
Hatimaye mabaki ya mwili ya Bi Patricia aliyedaiwa kukatwa katwa na mapanga na binti yake kwa kushirikiana na waganga wawili wa jadi yamezikwa nyumbani kwake katika kitongoji cha Rau Mrukuti na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji.
Mstahiki meya wa Manispaa ya Moshi alikuwa miongoni mwa waombolezaji huku akikemea vikali matukio ya mauaji ambayo yanaendelea kutendeka katika jamii
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ещё видео!