Mhe. Rais Magufuli amewajulia hali wagonjwa waliolazwa katika wodi ya uangalizi maalum (ICU) ya hospitali ya Bugando Jijini Mwanza akiwemo dada yake Bi. Monica Joseph Magufuli.
Mhe. Rais Magufuli amewashukuru madaktari na wauguzi wa hospitali hiyo kwa juhudi kubwa wanazozifanya kuwatibu wagonjwa, na amesema Serikali itaendelea kushirikiana na uongozi wa hospitali hiyo ili kuimarisha huduma za matibabu kwa wananchi.
![](https://i.ytimg.com/vi/CUS2WWOrth4/maxresdefault.jpg)