TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE YAMSHUKURU RAIS MAGUFULI
Taasisi ya Moyo ya Jakaya ya Moyo ya Kikwete, inayoongozwa na DK JANABI, imetao Takwimu za watoto ambao wanazaliwa na ugonjwa wa Moyo ambapo wamesema kuwa kila watoto 100 wanaozaliwa hai mtoto mmoja anazaliwa na tatizo la Moyo.
Matibabu ya watoto ambao wana matatizo ya moyo wameanza kutibiwa mwaka 2015.
#taasisiyamoyo#jakayakikwete
/GvVdZw Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/CWVIG0r9I1M/maxresdefault.jpg)