#trending #drsulle #tanzania #ndoto #tafsirizandoto
Kumekua na wimbi la watu wengi kulala wakaota mambo ya ajabu na ya kutisha bila kujua madhala yake wala nini kitawatokea.Kupitia PLATFORM HII muhasisi wa ISLAAH ISLAMIC FOUNDATION Al-Haj-Dr.Sulle anakuletea somo la kujua maana ya ndoto hizo.KARIBU tuachie na maoni yako
![](https://i.ytimg.com/vi/CXPWZP8ac7Q/mqdefault.jpg)