Ziara ya mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli, anaendelea na ziara yake ya siku tatu katika Mkoa wa Pwani ambapo ametoa tamko zito kwa wakazi wa Kibiti na Rufiji na kueleza kwamba watachelewa kupata maendeleo, ikiwemo kujengwa kwa viwanda, kwa sababu ya vitendo vya uhalifu wanavyoviendekeza.
Mheshimiwa Magufuli amesema wananchi wa Rufiji na Kibiti wanawajua wahalifu lakini wanawaficha na kukataa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya usalama, jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo.
Amewatahadharisha wote wanaoendeleza vitendo vya kihalifu Kibiti na Rufiji kwamba serikali yake siyo ya kuchezewa, atahakikisha anawanyoosha. Akawataka kama wanamsikia, wapeleke salamu kwa wenzao kwamba serikali yake siyo ya mchezo.
Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ]
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
WEBSITE: [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ]
INSTAGRAM: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/CgYgmonUbwA/mqdefault.jpg)