Semina ya siku tatu ya Waamuzi wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara imehitimishwa rasmi siku ya Jana Februari 17/2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar Es Salaam na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia.
Katika kuhitimisha Waamuzi wamefanya semina maalumu kwa njia ya vitendo wakisimamiwa na mkufunzi wa waamuzi Bwana Leslie Liunda
Pia Mkufunzi wa Waamuzi Leslie Liunda amewataka wachambuzi hasa wa soka kujikita zaidi kwenye kuuchambuaa mpira kwa kufuata sheria na kanuni….
#TFF #mkufunziwawaamuzi #mpenjatv RaisWallaceKaria #SeminaYaWaamuzi #LigiKuuYaNBC #MpenjaTV
![](https://i.ytimg.com/vi/CmXFWGdQl9U/maxresdefault.jpg)