Waziri wa maji Jumaa Aweso amewataka watendaji wa wizara hiyo kufanya kazi kwa kushirikishana ili kuhakikisha maji yanapatikana kwa wananchi.
Waziri aweso amewataka watendaji hao kuacha majungu katika ofisi zao za mikoa na wilaya hivyo amesema atawawajibisha wote atakaogundua wanafanya hivyo kwani wanarejesha juhudi za wizara nyuma.
Aweso ameyasema hayo katika mkutano na watendaji wa wizara ya maji mkoani Tanga lenye lengo la kukumbusha majukumu ya kila mmoja.
Ещё видео!