Mkurugenzi wa ufundi wa Shirikisho la Soka Tanzania Oscar Milambo amewataka
wachezaji wazawa kutosherehekea kusajiliwa kwa Mbwana Samatta kwenye klabu
ya Aston Vila inayoshiriki ligi kuu nchini England na badala yake wapambane na wao
waweze kufikia mafanikio hayo
Samatta ambaye ni nahodha wa kikosi Cha Taifa stars anatarajiwa kuwa Mchezaji wa
kwanza Mtanzania kucheza ligi kuu ya England inayotajwa kuwa ligi bora na yenye
ushindani ikiwa na mashabiki wengi duniani.
Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
![](https://i.ytimg.com/vi/DI4E6KhrF7M/mqdefault.jpg)