🔴#LIVE GLOBAL HABARI: WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa umeme wa maji wa Julius Nyerere na kumuagiza Mkandarasi anayejenga mradi huo kukamilisha kwa wakati sambamba na kumtaka mtendaji mkuu wa Tanesco kusimamia mradi huo
Akizungumza baada ya kutembelea mradi huo Kassim Majaliwa amesema Mtendaji mkuu wa shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha anasimamia kwa ukaribu mradi huo ili uweze kukamilika mapema June 14.2020...
Wakati huo huo Waziri mkuu ametembelea katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) katika eneo la soga mkoani Pwani, huku mradi huo ukiwa umefikia asilimia 70 na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Mei mwaka 2020.
Kwa upande wake Waziri wa Nishati na Madini Medard Kalemani amesema mradi huo wa ujenzi wa reli ya kisasa ni wa kwanza katika nchi za Afrika Mashariki huku ukigharimu kiasi cha shilingi Bilioni 71.6
kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/dikrt
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!