PROFILE: Huyu Ndiye 'GWAJIMA', Alitokewa na YESU, Ana PHD!
Askofu Dk. Josephat Gwajima ni mwanzilishi na Askofu Mkuu wa kanisa la Glory of Christ Tanzania Church (GCTC) au Kanisa la Ufufuo na Uzima.
Alizaliwa katika kijiji kidogo nje ya mji wa Mwanza mwaka 1970.
Ana elimu ya uzamivu (PhD) aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Omega, nchini Afrika Kusini ambapo alitunukiwa shahada ya udaktari wa theoloji Machi 7 mwaka 2015.
#THEPROFILE #GWAJIMA
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
Ещё видео!