EXCLUSIVE Kwa Mara ya Kwanza Mheshimiwa @jokatemwegelo Ataongelea Yote Uliyotamani Kuyasikia Kwa Muda Mrefu Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe na Mheshimiwa Rais na Kuweka Wazi Yote Yanayoendelea Kwenye Mitandao ya Kijamii Yanayomhusu Yeye
UNAJUA VITU GANI AMBAVYO HAFANYI KWA SASA ? JE MALENGO YAKE KATIKA CHEO HIKO NI YAPI, VIPI KWENYE UPANDE WA MITINDO 👗 NA BURUDANI 🎶 KAMA KAWAIDA ? .
![](https://i.ytimg.com/vi/E7wDOPJBJCk/maxresdefault.jpg)