Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Bonge la Nyau aka Nyauloso, amefunguka mambo mbalimbali kuhusu muziki wake na sababu iliyomfanya apotee kwenye gemu kwa muda, ambapo pia ameeleza uhusiano uliopo kati yake na Baraka da Prince.
Bonge la Nyau ameeleza kwamba amefunguka kwamba kuna kipindi alikuwa akihitaji kufanya intavyuu na Mr Blue lakini msanii huyo alimzungusha kwa kipindi kirefu, kabla ya baadaye Baraka the Prince kukubali kufanya naye kazi, jambo ambalo limeganya awe na heshima kubwa kwake kuliko hata Mr Blue.
#Global TV Online, kwa kushirikiana na TBC 1, wanakuletea taarifa ya habari iliyosheheni matukio mbalimbali nchi nzima.
Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ]
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
WEBSITE: [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ]
INSTAGRAM: [ Ссылка ]
Ещё видео!