*Mkuu Wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Ameagiza Kukamatwa kwa aliekuwa mwenyekiti wa ccm Wilaya ya Hai Dkt Amini Uronu Kutokana Ubadhirifu wa zaidi ya milioni 600 katika Chama Cha kuweka na kukopa Cha Nshala ambacho yeye ndie Mwenyekiti wa Sacco's Hiyo.*
*Pia Ole Sabaya Ameliagiza Jeshi la Polisi na Takukuru Kuwasaka Watu 11 Walioshiriki katika Ubadhirifu huo wa Fedha hizo ambazo walizikopa tangu Mwaka 2012 na kutoroka Baada ya kusikia Tangazo la kurejesha mikopo hiyo ndani ya Siku kumi na nne ambazo zimeisha jana*
![](https://i.ytimg.com/vi/EOCsYbmyOk0/mqdefault.jpg)