Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Geita imesema hailidhishwi na kasi ya utekelezaji wa miradi ya barabara katika halmashauri ya Wilaya ya Geita, ambayo inasimamiwa na Wakala wa Barabara Vijijini na Mjini (TARURA). #mwangazatvupdates