SUBSCRIBE NOW [ Ссылка ]
MBUNGE wa Kibaha Vijijini, Hamoud Jumaa leo amekabidhi magari ya wagonjwa (Ambulance’s) tatu kwa wananchi wa jimbo lake la Kibaha Vijijini.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
WEBSITE: [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]...
TWITTER: [ Ссылка ]
INSTAGRAM: [ Ссылка ]...
Magari hayo yamekabidhiwa kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Azimio Mlandizi ambapo hafla hiyo ilifanyika na Waziri wa Afya, Jinsia Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu alikuwa mgeni rasmi na ndiye aliyekabidhi magari hayo.
Akikabidhi zawadi hizo, Ummy alimpongeza mbunge huyo kwa kazi nzuri anayoifanya kwa wananchi wake na akasema anapaswa kuungwa mkono.
Alisema juhudi zinazofanywa na mbunge huyo hata serikali ya awamu ya tano inaziona na ndio maana katika magari hayo moja lilitolewa na Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona umuhimu wa mbunge huyo katika jamii.
“Serikali haitasita kuwa bega kwa bega na mbunge huyo katika kumtia moyo hususan anapotekeleza irani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutekeleza ahadi zake kwa wananchi,” alisema waziri.
Mbunge huyo alisema ataendelea kushirikiana na wananchi katika kuhakikisha anawaletea maendeleo na atajitahidi kutimiza ahadi zake kwa kushirikiana na serikali ya CCM.
Ещё видео!