Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi awasili Mjini Dodoma kwa ziara ya kikazi ya siku moja hapa nchini Tanzania.
Katika uwanja wa ndege wa Dodoma Mhe. Rais Nyusi amepokelewa na Mwenyeji wake Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.
![](https://i.ytimg.com/vi/EoLpqtprlts/mqdefault.jpg)