#Jokate #Tanesco #Kisarawe
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Tanesco wilayani humo na kukutana na malalamiko lukuki toka kwa wananchi waliofika katika ofisi hizo wakidai kucheleweshewa kuwekewa umeme majumbani mwao ikiwemo kero ya kukatika katika kwa umeme na hivyo kusababisha hasara kubwa kila uchwao kwa vyombo vinavyotumia nishati hiyo.
![](https://i.ytimg.com/vi/EouhOfG6dD8/mqdefault.jpg)