Mwenyekiti wa kamati ya bajeti ya bunge la taifa Ndindi Nyoro amewataka viongozi na Wakenya kwa jumla kuwa na subira kuhusu mswada wa fedha wa mwaka 2024,akisema ripoti ya kamati ya fedha haijawasilishwa bungeni.Mbunge huyo wa Kiharu alisema ni mapema mno kukata kauli kuhusu mswada huo,ilhali mapendekezo ya Wakenya hayajajumuishwa.Haya yanajiri shinikizo zikiongezeka kwa wabunge kukataa mswada huo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #Kenya #News
![](https://i.ytimg.com/vi/Eq86vmJXUgk/maxresdefault.jpg)