Clement Mzize amepiga hattrick, Yanga ikiichapa Hausung kutoka Njombe, mabao 5-1 katika mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC
Mechi imepigwa Azam Complex, na magoli mengine yametoka kwa Jonas Mkude aliyefungua kitabu dakika ya 20, pamoja na Skudu Makudubela aliyefunga goli la pili dakika ya 25.
Ещё видео!